Monday, September 15, 2014

JAMAA ACHEZEA KICHAPO CHA PAKA MWIZI BAADA YA KUTAKA KUBAKA MTOTO WA MIAKA 8 HUKO JIJINI DAR

Huyu ndio mtuhumiwa. Alifika Nyumbani na kumlaghai mtoto Julius kwa pipi na kumuita uncle, uncle Akamvuta mpaka vichakani na kutaka kuanza kumlawiti. Mtoto alipoona hivyo akaanza kup iga kelele na kupambana na mtuhumiwa. Muasi alikuwa taya ri ameshavua nguo, alipoona mtoto anapiga kelele akaanza kumng'ata na meno mashavuni na kump iga na j iwe kwenye paji la uso. Bahati nzuri, MUNGU sa i dia, kuna mama alikuwa anashusha matofali akaskia kelele hizo kabla ya tendo baya kufanyika. Akaita watu wakamkuta mtuhumiwa akiwa anaendelea kujaribu kumlawiti mtoto huyo wa kiume. Alifanikiwa kumwaga haja zake tu, ila hakufanikiwa kumuingia kimwili. Watu wenye hasira walimpa adhabu yake na yeye, kabla Police hawajafika na kumtia mbaroni.. Inasemekana kuwa mtuhumiwa huyu ndio tabia yake, ila hii ndio ilikuwa arobaini yake. Mitaa ya Mbezi ya Kimara, amezunguka sana kuharibu watoto wa watu. Kila Nyumba akifika anauliza baba na mama wapo?? akiambiwa tu hawapo anaanza shughuli zake.H ivi sasa yuko Hospitali ya TUMBI mahututi, akingojea kusomewa mashtaka

 soma zaid hapa 


Posted via Blogaway

0 comments:

Post a Comment